Yanga yaishukuru SMZ kwa kuandaa mashindano ya Mapinduzi. Hapo kabla mhamasishaji wa klabu hiyo alinukuliwa akisema Yanga haina shida na makombe. Kwa barua hii inamaanisha kuwa mhamasishaji huyo ulimi uliteleza. Yanga ilitolewa kwa mikwaju ya penati dhidi ya Mtibwa. Fainali ya Mapinduzi itapigwa kati ya Simba Sc na Mtibwa Sugar...
Haruna Moshi msimu uliopita alikua akiitumikia Yanga chini ya Mwalim Zahera kabla ya msimu kuisha na Yanga kuamua kuachana nae lakini sasa amerudi kivingine tena VPL.