Kwa matokeo hayo sasa Yanga imevuna alama 4 mkoani Mbeya na sasa wanajiandaa kuwavaa Biashara Utd jijini Dar kabla ya kuelekea January 4 kucheza na mtani wake Simba katika uwanja wa Taifa.
Kwa matokeo hayo sasa Killi Stars inakua na alama tatu baada ya michezo miwili huku Zanzibar Heroes wakibaki na alama yao moja walioipata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Sudan.
Ikumbukwe Vodacom iliingia mkataba na TFF katika kudhamini ligi kuu Tanzania bara kwa miaka mitatu. Mkataba huo unaifaidisha TFF kiasi cha Bilioni 9 ndani ya miaka mitatu.