Mchambuzi na Mkufunzi wa Mpira wa miguu. Tigana hufanya uchambuzi katika vituo mbali mbali vya redio na luninga. Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania bara.
Hii ilikuwa lazima ifanyike tena kwa uharaka mkubwa. Ally Salim na Feruz ilikuwa karata ngumu sana kwa Simba SC kuicheza kuelekea Msimu mpya wa mashindano.