Tigana Lukinja

Mchambuzi
Mchambuzi na Mkufunzi wa Mpira wa miguu. Tigana hufanya uchambuzi katika vituo mbali mbali vya redio na luninga. Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania bara.
Mabingwa Afrika

Yanga anasonga mbele klabu bingwa.

Kuna mtu ananiambia dhamana ya Yanga kusonga mbele ipo. Mikononi mwa hawa jamaa ,unaweza kuwaita 'Wakombozi wa ngambo'. Nilivyouliza una maana gani kwenye hoja yako? majibu yake yalikuwa mepesi tu 'nyumba ni mlango' Diarra akiamua kuufunga mlango kisawasawa basi usalama ni 100% Nikamuuliza vip Aziz Ki (Azizi ufunguo ) akaniambia...
Blog

Huyu Morrison ndio Morrison mwenyewe sasa.

Wapwa : Waswahili wanao msemo wao kufa kufaana ….. Baada ya kamati ya saa 72 kumfungia Bernard Morrison kucheza michezo mitatu ya ligi kuu ya NBC itakayofuata Ambao ni dhidi ya Ruvu shooting ,Namungo na Simba sports baadaye mwezi October Kuna maswali mengi nimekuwa naulizwa kubwa kuliko wengi wa akiuliza...
1 3 4 5 6 7 14
Page 5 of 14