Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Makamu wa Rais TFF aingia matatani

Kamati ya maadili ya Shirikisho la soka nchini (TFF) inakutana leo Machi 14, 2018 pamoja na mambo mengine kamati hiyo itajadili suala la makamu wa rais wa TFF, Michael Richard Wambura aliyefikishwa kwenye kamati  akituhumiwa kwa makosa matau ya kimaadili Akidaiwa kupokea fedha za TFF malipo yasiyo halali, kughushi barua...
Blog

Hatima ya mwamuzi aliyepanga matokeo Zanzibar

Chama cha soka cha visiwani Zanzibar (ZFA) kimemsimamisha mwamuzi wake,Mfaume Ally Nassor, kwa muda ili kupisha uchunguzi dhidi yake kwa tuhuma za kupanga matokeo Mwamuzi huyo kutoka visiwani humo, pamoja na waamuzi wengine Frank Komba, Israel Mujuni Nkongo na Soud Lila kutoka Tanzania bara wanachunguza na shirikisho la soka barani...
Blog

Abdi Banda ataendelea kuchanja mbuga

Tovuti ya Kandanda ilipata nfasi ya kufanya mahojiano mtandaoni na mlinzi wa Tanzania anayechezea klabu ya Baroka FC ya nchini Afrika kusini. Haya ni maswali yetu ambayo tulimuuliza tumekuwekea hapa uweze kuyapata pia. Historia yako fupi mpaka kufikia hapo Baroka Kwa kifupi, nilianzia Kombezi Academy kwa mwalimu Khalfan Kamote ndio...
Blog

Manchester City yaifikia rekodi ya Manchester United

Manchester City imeichapa Arsenal mabao 3-0, katika mchezo wa fainali ya kombe la ligi likijulikana kama Carabao Cup na kutawazwa kuwa mabingwa wa kombe hilo Katika mchezo huo uliofanyika kunako uwanja wa Wembley na kuamuliwa na mwamuzi Craig Pawson Manchester City walipata bao la kwanza dakika ya 19 kupitia kwa...
Blog

Maneno ya Banda kwa wanamichezo wa Bongo

Beki wa kati wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Banda, amewataka wachezaji na makocha wa Tanzania kutoka nje ili kujifunza na kuona wenzao wanaendeleaje Akizungumza na mwandishi wa  tovuti ya Kandanda, Banda alisema kuwa ili kupata timu bora ya taifa kunahitaji kuwa na wachezaji wengi wanaocheza soka nje na ikibidi hata...
Blog

Zanzibar bado mnaikumbuka CECAFA?

Tulishuhudia CECAFA, macho yetu yalipendezwa na vingi vilivyotokea Kenya kwenye michuano ya CECAFA. Furaha ambayo ilipitiliza kiasi kwamba tulitumia kubeza sehemu moja na kusifia sehemu nyingine bila kutuliza akili zetu kwa umakini. Zanzibar ilisifiwa sana, Tanzania bara ilizodolewa sana, cha ajabu tulifika sehemu ambayo ilitulazimu kusema Zanzibar wana misingi imara...
Blog

Tenga ateuliwa kuongoza BMT

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Dk. Harrison Mwakyembe amemteua raisi wa zamani wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) Leodigar Chilla Tenga kuwa mwenyekiti wa Baraza la michezo nchini (BMT). Katika taarifa hiyo iliyotolewa leo na kaimu mkuu wa idara ya mawasiliano serikalini, Wizara ya Habari, Utamaduni,...
Blog

Kinachomkuta Eboue wacha kimkute tu!

Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu mwingi wa rehma . Pili niwe mkweli sijawahi pata kuwa mwandishi kwa namna yoyote ile hivyo muniwie radhi kwa mapungufu yoyote ya kiuandishi . Kilichonisukuma kuandika ni kuhusu mchezaji mahiri wa soka mwenye mafanikio makubwa ndani na nje ya uwanja, Emmanuel Eboue. Taarifa zinaeleza, hivi...
Blog

Taarifa kutoka TFF kuhusiana mechi daraja la kwanza

Kwanza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)  linapenda kumpongeza Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dr.Harrison Mwakyembe kwa ufuatiliaji wake wa karibu wa michezo ikiwemo Mpira wa Miguu. Baada ya mechi za Ligi Daraja la Kwanza (FDL)  Dodoma FC vs Alliance na Biashara vs Pamba kuliibuka malalamiko mengi ambayo...
Blog

Samue Samuel: Mawazo yangu juu ya Soka Letu

Mohamed Rashidi wa Tanzania Prisons ana goli 6 ligi kuu katika michezo 11 lakini humuoni si Taifa Stars au Kilimanjaro Stars. Kushindwa kuthamini changamoto ya vijana wengine nje ya Simba, Yanga , Azam na wachezaji wa nje ni jambo lingine linaloturudisha nyuma. Vijana hawa tungekuwa tunawaweka katika mizani sawa na...
1 82 83 84 85
Page 84 of 85