Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Galacha wetu wa kukuletea stori mwezi machi huyu hapa!

Kila mwezi tutakuwa tukikuletea mtu ambae amefanikiwa kuwafikia wasomaji wetu wengi katika mwezi husika. Hivyo basi kwa mwezi wa machi, ni Thomas Mselemu unaweza kusoma stori zake zilizotia fora kwa mwezi huo. Hizi ndio stori zake zilizosomwa zaidi. Walipo’chemka’ Simba ni hapa! Mkude ananifanya na mimi nitamani kucheza namba sita!...
Blog

Cecafa yaingushia rungu Zanzibar

Timu ya taifa ya vijana ya Zanzibar iliyochini ya umri wa miaka 17, Karume boys, imeondolewa katika michuano ya vijana ya CECAFA yanaoyoendela nchini Burundi Timu hiyo imeondolewa kufuatia kupeleka vijana 12, waliozidi umri huo suala ambalo ni kinyume na kanuni za mashindano hayo Pamoja na kuondolewa, timu hiyo imetakiwa...
Blog

Afisa Masoko hili linawahusu kwenye VPL.

Ligi Kuu Bara inayojulikana kama Vodacom Premier League inaendelea kushika kasi ikiwa inaelekea ukingoni. Ligi itaenda itakwisha na msimu mwingine utaanza tena na macho na masikio ya wapenda soka wataendelea kuifwatilia. Wakati mwingine inashangaza kidogo kwa ligi yetu hii pendwa inayotoa burudani na ushindani wa hali ya juu huku ikionyeshwa...
Blog

Kamati ya utendaji kumrejesha Lwandamina

Baada ya kocha mkuu wa Yanga sc, George Lwandamina kutimka klabuni hapo taarifa zinasema kuwa hakuwa na maelewano mazuri kati yake na Katibu mkuu Charles Boniface Mkwasa "Master" Taarifa za chini ya kapeti zinaeleza kwamba, Mkwasa anataka kurejea kunako nafasi yake ya ukocha na kuachana na ile ya Katibu mkuu...
Blog

Rufaa ya kigogo wa TFF yatupwa

Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la soka nchini (TFF), limetupilia mbali rufaa ya aliyekuwa makamu wa raisi wa Shirikisho hilo Michael Wambura aliyepinga kufungiwa maisha. Wambura alifungiwa maisha na kamati ya maadili kufuatia kufunguliwa mashitaka na Sekretarieti ya TFF. Mwenyekiti wa kamati ya rufani, ndugu Ebenezer Mshana, ameviambia vyombo vya...
Blog

Insta ya Cristiano Ronaldo imenifanya nimkumbuke Ngassa na Kaseja.

"Kiyumbi nenda Instagram kuna Email nimekutumia", huu ndiyo ujumbe wa simu wa kwanza kuusoma leo hii kwenye simu yangu kutoka kwa rafiki yangu mkubwa sana. Sekunde sikuziruhusu zipite nyingi, vidole vyangu vilijongea taratibu mpaka Instagram, mtandao ambao umekuja kuzima zama za Facebook. Watu maarufu ni nadra kuwaona wakitumia kwa ukubwa...
Blog

Hatma ya kigogo wa TFF kujulikana kesho

Rufaa ya aliyekuwa Makamu wa raisi wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Michael Richard Wambura, inataraji kusikilizwa kesho Jumamosi Machi 31, 2018 katika ofisi za Shirikisho hilo Kwa mujibu wa Wakili Emmanuel Muga anayemtetea Wambura, alisema kuwa wameshapokea barua ya kuitwa inayomtaka Wambura aende na utetezi wa maandishi ama njia...
Blog

Takukuru yakamilisha upelelezi wa kesi ya vigogo TFF

Upelelezi wa kesi ya utakatishaji fedha wa dola za Kimarekani 375,418 inayomkabili raisi wa zamani wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Emily Malinzi, na wenzake umekamilika kunako Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Mwendesha mashitaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru, Leonard Swai, amemuelezea Hakimu Mkazi Kisutu...
Blog

Taifa Stars imetufuta Chozi kwa leso yenye mchanga

Nyuso zetu zimejaa furaha, furaha ya muda mfupi. Furaha ambayo imetusahaulisha kila tatizo lililopo katika familia yetu. Familia yetu ina matatizo mengi sana, matatizo ambayo hayawezi kuondolewa na furaha ya siku moja Tunajaribu kujificha nyuma ya shina la mchicha tukiiamini kuwa hatutoonekana, tunakosea sana kujaribu kujifuta machozi kwa leso ya...
Blog

Stars yatakata nyumbani

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa stars jioni ya jana imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya taifa ya Jamhuri ya kidemoklasia ya Kongo, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliopigwa kunako uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Mchezo huo wa kalenda ya FIFA, ulishudiwa dakika...
1 80 81 82 83 84 85
Page 82 of 85