ASFC

ASFC

Safari ya Mtibwa hadi Fainali

Timu ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kutinga fainali katika msimu wa tatu wa kombe lá FA baada ya kupata ushindi katika uwanja wa Kambarage Shinyanga dhidi ya Stand UTD. Tangu msimu huu wa Azamsports FederationCup uanze mechi zote za Mtibwa Sugar zimekua zikipangwa ugenini. Hivyo hakuna hata mchezo mmoja ambao Mtibwa...
ASFC

Mtibwa sugar yabomoa Stand ya Shinyanga

Timu ya soka ya Mtibwa sugar ya Turiani Manungu mkoani Morogoro, imefanikiwa kuingia fainali ya kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya kuwachapa wenyeji Stand United kwa mabao 2-0 mchezo uliopigwa kunako dimba la CCM Kambarage mkoani Shinyanga Shujaa wa Mtibwa sugar hii leo, ni kiungo...
ASFC

Michezo ya kombe la FA imepangiwa tarehe.

Michezo ya nusu fainali ya Azamsports FederationCup tayari imepangiwa tarehe. Michezo hiyo itapigwa April mwaka huu,  zikizihusisha timu nne zilizifuzu hatua hiyo ambazo ni Singida utd, Mtibwa Sugar, Stand UTD na JKT Tanzânia. Mchezo wa kwanza wa nusu fainali utapigwa tarehe 20 April mwaka huu katika dimba la Kambarage Shinyanga...
ASFC

Habari njema kwa mashabiki wa Mnyama

Habari nzuri kwa mashabiki wa SimbaSc kuelekea mchezo wao wa ligi dhidi ya Njombe Mji Ya Njombe katika harakati zao za kuwania ubingwa kiungo wao Jonas Mkude ameaza kufanya mazoezi baada ya jeraha lake la enka kupata nafuu. Jonas Mkude aliumia mazoezini baada ya kugongana na Yasin Mdhamiru katika uwanja...
ASFC

Yanga walizidiwa kila idara na Singida Utd!

  Mchezo wa soka kati ya Singida United dhidi ya Yanga sc umemalizika kwa Singida kupata ushindi wa penati 4-2 kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 za Mchezo. TATHIMINI! Nikianza na wenyeji Singida United ambao waliingia uwanjani wakitumia mfumo wa 4-4-2 flat. Hakika Singida United walikuwa bora sana...
ASFC

Yanga Kama Azam yafia Singida!

Timu ya Yanga imeyaaga mashindano ya Azamsports FederationCup baada ya kutolewa na Singida Utd kwa mikwaju ya penati baada ya kutoka sare ya bao moja kwa moja  katika dakika 90 za mchezo. Mchezo huo wa mwisho wa robo fainali uliopigwa Katika dimba la Namfua, Sasa unaifanya Yanga kutolewa na Kuungana...
ASFC

Mtibwa sugar yaifata Chama la Wana

Timu ya Mtibwa sugar imetinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Azam ya michuano ya Azam Sports Federation Cup, baada ya kupata ushindi wa penati 9-8 dhidi ya Azam FC kufuatia sare 0-0 katika dakika 90 za mchezo. Mara baada ya dakika 90, kukamilika ndipo changamoto ya mikwaju ya...
ASFC

Chama la wana watinga nusu fainali.

Timu ya Stand United "Chama la wana" ya Shinyanga imekuwa timu ya kwanza kuingia nusu fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC), baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Njombe mji FC ya Njombe Mchezo huo uliopigwa kunako uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga, Stand United ilijipatia bao...
ASFC

Wachezaji Yanga kusafiri leo kuungana na wenzao

Wachezaji wa Yanga waliokua na Timu ya Taifa Tanzania  Kelvin Yondani, Hassan Kessy, Gadiel Michael na mshambuliaji Ibrahim Ajib wanatariwa kuondoka mchana huu kueleka mjini Morogoro kuungana na wenzao walioko kambini. Ikumbukwe timu ya Yanga imeweka kambi ya muda jijini Morogoro kwajili ya maandalizi ya mchezo wa Azamsports Federation cup...
1 6 7 8 9
Page 8 of 9