Habari njema kwa mashabiki wa Mnyama
Habari nzuri kwa mashabiki wa SimbaSc kuelekea mchezo wao wa ligi dhidi ya Njombe Mji Ya Njombe katika harakati zao za kuwania ubingwa kiungo wao Jonas Mkude ameaza kufanya mazoezi baada ya jeraha lake la enka kupata nafuu. Jonas Mkude aliumia mazoezini baada ya kugongana na Yasin Mdhamiru katika uwanja...