Shirikisho Afrika

Shirikisho Afrika

Mtibwa Sugar yapiga mtu ugenini, yatuma salamu Uganda.

Wakata miwa wa Mtibwa Sugar wameendeleza ubabe wao katika michuano ya Kimataifa baada ya kutoa kipigo ugenini na kufanikiwa kuingia raundi ya kwanza katika michuano hiyo ya Shirikisho Africa. Mtibwa Sugar imefanikiwa kuifunga Northern Dynamos kwa bao moja kwa sifuri ugenini hivyo kufanikiwa kuwatoa Washelisheli. Haruna Chanongo ndie mfungaji wa...
Shirikisho Afrika

Mtibwa Sugar wawashukuru Watanzania.

Klabu ya soka ya Mtibwa Sugar imewashukuru watanzania waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Azam Complex kuiunga mkono wakati wa mchezo wao wa shirikisho Afrika dhidi ya Northern Dynamo ya Ushelisheli. Thobias Kifaru Ligalambwike ambaye ni Afisa habari wa Mtibwa Sugar amesema wameweza kufikia malengo na kupeperusha vyema bendera ya...
1 7 8 9 10 11 13
Page 9 of 13