Shirikisho Afrika

Shirikisho Afrika

Maeneo ya kuwapa ushindi Yanga

1: Golikipa. Moja ya eneo ambalo ni muhimu kwenye timu ni eneo la golikipa, siku zote golikipa ndiye mshambuliaji wa kwanza na ndiye mtu ambaye anaifanya timu iwe hai muda mwingi mwa mchezo. Lakini hii imekuwa tofauti sana kwa Youthe Rostand. Amekuwa golikipa ambaye ana makosa mengi akiwa langoni. Mfano...
Shirikisho Afrika

Ten- mmoja tu ataukosa mchezo dhidi ya Rayon

Kikosi cha Yanga SC, kesho kitashuka kunako uwanja wa taifa kuvaana na Rayon Sports ya Rwanda katika mchezo wa hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho barani Afrika Kuelekea katika mchezo huo, Yanga itakosa huduma ya kiungo wake Said Juma "Makapu" akitumika adhabu ya kuwa na kadi mbili za njano...
Shirikisho Afrika

Yanga sc, yapotezwa vibaya Algeria

Yanga SC, wameanza vibaya hatua ya makundi ya michuano ya kombe la Shirikisho baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa USM Alger, katika mchezo wa kundi D uliopigwa kunako dimba la Julai 5, 1962 Mchezo huo, uliochezeshwa mwamuzi Daniel Nii Ayi akisaidiwa na David Laryea wote kutoka Ghana,...
Shirikisho Afrika

Yanga sc kuondoka leo

Kikosi cha Yanga sc, kinaondoka leo majira ya saa 9:00 za alasiri kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika. Yanga sc, inakwenda kuvaana na USM Alger ukiwa ni mchezo wa kwanza hatua ya makundi utakaopigwa Jumapili ya wiki hii. Akizungumzia safari hiyo, Meneja wa timu...
Shirikisho Afrika

Majirani kuamua hatma ya Yanga sc

Mabingwa wa soka Tanzania bara, Yanga sc, imepangwa kundi D lenye timu za Gor Mahia ya Kenya, Rayon Sports ya Rwanda na USM Arger ya Algeria katika hatua ya 16, bora ya kombe la Shirikisho barani Afrika Droo hiyo iliyopangwa leo mjini Cairo, Misri, kundi A linajuisha timu za Asec...
Shirikisho Afrika

Wababe wa Zamaleki Wazikwa na Yanga

Zanzibar ndiyo ilikuwa sehemu yao ya kwanza kuanza safari yao na Ethiopia ikawa safari yao ya mwisho kwenye michuano hii ya kimataifa. Walifanikiwa kutoka sare ya goli moja kwa moja dhidi ya Zimamoto ya Zanzibar katika uwanja wa Amani na walippenda kurudiana Ethiopia walifanikiwa kuwafunga Zimamoto goli 1-0 na kufanikiwa...
1 9 10 11 12 13
Page 11 of 13