Maeneo ya kuwapa ushindi Yanga
1: Golikipa. Moja ya eneo ambalo ni muhimu kwenye timu ni eneo la golikipa, siku zote golikipa ndiye mshambuliaji wa kwanza na ndiye mtu ambaye anaifanya timu iwe hai muda mwingi mwa mchezo. Lakini hii imekuwa tofauti sana kwa Youthe Rostand. Amekuwa golikipa ambaye ana makosa mengi akiwa langoni. Mfano...