
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Simba, Masoud Juma.
- Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
- Kisa cha Kalilou Fadiga kuiba cheni.
- Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
- Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
- Moto wawaponza Simba CAF.
Habari za chini ya kapeti zilizotua katika meza ya Uhamisho ya Kandanda.co.tz ni kocha msaidizi wa zamani wa klabu ya Simba Sc, Masoud Djuma, anaelekea kujiunga na klabu ya KMC kuchukua nafasi ya Etienne.
Ni leo (07/06) tu KMC walithibitisha kuwa Etienne hataendelea na mkataba katika klabu hiyo itakayoshiriki Kombe la Shirikisho maimu ujao, hii inawezekana kuwa kuna nafasi ya Djuma kuwa mfalme wa KMC msimu ujao.

Kwa upande wa Seleman Matola, naye inasemekana anakuja kuungana na Masoud katika kuisuka kiushindani klabu hiyo yenye makazi yake wilayani Kinondoni, jijini Dar es slaaam.
Zaidi tutawaletea kwa undani..
Unaweza soma hizi pia..
Manara ataja timu atakayokwenda Morrison.
Kila lakheri huko uendako, kwa taarifa nilizozipata mida hii najulishwa unaelekea klabu kubwa Barani Afrika
Said Ndemla awa lulu, wababe wanataka kumrudisha mjini.
Said Ndemla alijiunga na Mtibwa msimu huu akitokea Simba Sc baada ya aliyekua kocha wa wa Simba wakati huo Didier Gomes kumkataa
Sakho agombewa Afrika Kusini, Kaizer na Orlando wamtolea macho!
Ikiwa ana msimu mmoja tuu na Simba akijiunga nao akitokea Teungueth ya nchini kwao Senegal ameonekana kuwa moja ya nyota tishio kwa Wekundu wa Msimbazi.
Samatta huyoo West Brom
Baada kuanza kwa kipigo cha mabao matatu kwa sifusi West Brom wanahitaji mshambuliaji wa kwenda kuongeza nguvu katika eneo la mbele huku wakiona Mbwana Samatta