
Addi Yusuph akiwa katika uwanja wa klabu yake mpya.
Mshambuliaji Mtanzania wa Buildcon Fc, Eleuter Mpepo, ataiwakilisha timu yake katika michuano ya shirikisho Afrika msimu ujao.
Buildcon imefanikiwa kupata nafasi hiyo baada ya kushika nafasi ya pili katika ligi kuu ya nchini Zambia.
Kwa upande wa Hassan Kessy, timu yake ya Nkana Fc imeshindwa kufurukuta na sasa haitashikiriki michuano ya Afrika baada ya kushindwa kuongoza au kushika nafasi ya pili katika moja ya kundi la ligi hiyo. Nkana imemaliza katika nafasi ya 7.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,