Uchambuzi yakinifu

Ligi Kuu

Mtazamo wangu Ligi Kuu- VPL.

Kulikuwa na dalili za Mbaraka Yusufu mshambuliaji wa Kagera Sugar kuibuka mchezaji bora wa ligi kuu msimu huu wa 2016-17 lakini kadi nyekundu mechi ya juzi na Yanga SC inamtoa katika kinyang'anyiro hicho . Suala la nidhamu huenda likachafua mbio hizo. Namuona Haruna Niyonzima kurudi kwenye tuzo za mchezaji bora...
1 325 326 327 328
Page 327 of 328