Sambaza....

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, kesho Jumamosi watakua ugenini kwenye uwanja wa Azam complex kuwakabili wenyeji wao Azam FC

Katika mchezo huo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, Yanga itawakosa nyota wake saba waliomajeruhi na mmoja akitumikia adhabu ya kuwa na kadi tatu za njano

Wachezaji hao ni Amis Tambwe, Yohana Oscar Nkomola, Abdallah Shaibu, Pato Ngonyani, Pius Buswita Donald Ngoma na Thabani Scara Kamusoko

Taarifa

Tarehe Muda Mwisho
90'

Hafsa habari wa klabu hiyo Dismas Ten, tayari ameweka wazi kuwa watawakosa nyota hao saba katika mchezo huo wa kesho

“Tutawakisa wachezaji wetu saba katika mchezo wetu wa kesho dhidi ya Azam FC, lakini wengine wapo tayari na mchezo huo ambao tutalazimika kushinda ili kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi

Aidha pia klabu hiyo itamkosa kocha wake msaidizi Shadrack Nsajigwa, anayesafiri kwenda kwenye msiba wa shemeji yake, huku kibali cha kufanyia kazi cha kocha mkuu George Lwandamini ikiwa ni kitendawili

Endapo kitakosekana kibali hicho, ina maana Yanga kesho itaongozwa na mwalim wake wa viungo Noel Mwandila raia wa Zambia

PosTimuPWDLFAGDPts
1Simba SC2041394619401122279463
2Yanga SC1961334320326117209442
3Azam FC1981105038301148153380
4Tanzania Prisons196577267171190-19243
5Kagera Sugar FC189556371156198-42228
6Coastal Union FC166555358135158-23218
7Mtibwa Sugar FC187555280167205-38217
8KMC FC166505561161177-16205
9Mbeya City FC166455764153185-32192
10Namungo FC13047443914613313185
11Ruvu Shooting166455071146200-54185
12Mwadui FC108333243119134-15131
13Lipuli FC10733324298116-18131
14JKT Tanzania SC992938327792-15125
15Biashara FC1062839398297-15123
16Mbao FC10730324586120-34122

Sambaza....