Nani ‘nyanya‘? Klaus 4-3 Stand,au Manula 3-3 Stand? kwanza tuipongeze Stand
MCHEZO wa Yanga SC 4-3 Stand United katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana Jumapili umeweka rekodi kadhaa bora na za kuvutia katika ligi kuu Tanzania Bara msimu huu. Mshambulizi, Alex Kitenge alifunga magoli matatu kwa mpigo na si Hivyo tu, amefunga ‘Hat Trick‘ ya kwanza ya msimu katika...