Nyota Mohamed Aboutrika auhukumiwa kwenda jela.
Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Misri Mohamed Aboutrika amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kukwepa kulipa kodi. Aboutrika anaweza kukwepa kifungo hicho kama atalipa faini ya Dola 1115. Aboutrika hakuwepo mahakani Jijini Cairo wakati hukumu hiyo ikisomwa ambapo alikutwa na hatia ya kukwepa kodi...