Alliance watambulisha benchi jipya la Ufundi, Malale apewa mikoba.
Klabu ya Soka ya Alliance ya Jijini Mwanza, Jumatatu hii imemtambulisha kocha wa Zamani wa Ruvu Shooting na Ndanda, Malale Hamis Keya kuwa kocha mkuu akichukua nafasi ya Mbwana Makata aliyetimuliwa wakati timu ikijiandaa na mchezo wa ligi dhidi ya Simba SC. Akizungumza mbele ya vyombo vya habari, mwenyekiti wa...