Kuuli: Kamati ya maadili ya TFF ni sawa na mahakama ya Kangaroo.
Baada ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumfungia maisha kutojihusisha na soka aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi TFF, wakili Revocatus Kuuli, mwenye amejitokeza na kubeza maamuzi hayo Akitaja hukumu hiyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili TFF, Hamidu Mbwezeleni, alisema wamemfungia wakili huyo kutokana na kukiuka...