Biashara United wadhamiria kuivua nguo Yanga.
Wengi wameyazungumza haya ya kwamba Yanga ni timu ya kawaida lakini hali inakuwa tofauti hasa pale dakika 90 zinapokamilika, lakini inaonekana kama Biashara United ya Mara wamedhamiria kudhihirisha hili. Meneja wa Biashara United Amani Richard Josiah amesema kikosi chao kinataka kuonesha hilo kuwa Yanga ni timu ya kawaida pale watakapokutana...