Alonso aongeza mkataba Chelsea.
Beki kutoka nchini Hispania na klabu ya Chelsea Marcos Alonso amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya mgharibi mwa jijini London. Alonso mwenye umri wa miaka 27, amekamilisha mpango wa kusaini mkataba mpya, ambao utamuweka Stamford Bridge hadi mwaka 2023, na ni dhahir unavunja tetesi za kuondoka kwake mwishoni...