Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Taifa Stars itacheza mchezo wa marudiano dhidi ya Sudan nchini Sudan baada ya awali kuwepo taarifa ya mechi kuchezwa katika uwanja wa Nambole jijini Kampala nchini Uganda.