Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Ligi Kuu

Nagwanda imenifanya nione kesho ya Simba Sc

Ndiyo mabingwa watetezi, tena ubingwa ambao walichukua kwa ustadi mkubwa kuanzia nje ya uwanja mpaka ndani ya uwanja. Walihakikisha wanasajili kikosi imara, chenye nyota wengi mpaka kikawa kinaitwa kikosi cha bilioni 1. Inasemekana lakini kikosi chao cha msimu uliopita kiligharimu bilioni 1!. Watu wengi walitegemea mpira wa bilioni moja, kuanzia...
Blog

Wachezaji watano ambao wanatakiwa kupambana au kuondoka Simba

Ndiyo mabingwa watetezi na wawakilishi wa Tanzania katika michuano ijayo ya CAF. Walifanya usajili, usajili mkubwa kitu ambacho ni kizuri kwenye timu yoyote ambayo inataka kushinda. Lakini kuna baadhi ya wachezaji ambao wanatakiwa kuondoka kuanzia dirisha dogo la usajili na dirisha kubwa kwa manufaa ya vipaji vyao na kwa manufaa...
EPL

Mzimu wa msimu wa tatu uko kwenye nyayo za Mourinho

Jose Felix Mourinho, Mreno mwenye mafanikio makubwa sana katika ngazi ya ukocha. Mafanikio ambayo yalianza kama kitu cha kushangaza kwa sababu aliwashangaza wengi kupata mafanikio makubwa akiwa na klabu ya FC Porto. Timu ambayo ilikuwa haidhaniwi kama inaweza kutoa ushindani kwa timu kubwa kama Realmadrid, Bayern Munich, Barcelona , Manchester...
Blog

Mohammed Ibrahim, fundi wa Mpira asiyeaminika Simba!

Fundi!, ndilo neno ambalo nililisikia kutoka kwa jirani yangu. Niligeuka kumwangalia, kwa bahati nzuri au mbaya tukakutanisha naye macho. Hapo ndipo ukawa mwanzo wa yeye kuniambia, aliongea kwa hisia kali sana ambazo zilionesha dhahiri maneno yake yalikuwa yanatoka moyoni. Mazungumzo yake yalikuwa yametawaliwa na neno Mohammed Ibrahim, na haya yote...
Blog

Kina Samatta wanatupa sababu mia za kupeleka wachezaji nje

Habari za mechi ya Uganda na Tanzania zimeshaanza kufifia, wengi tumeshaanza kuangalia upande mwingine wa maisha. Tumeshatazama sehemu nyingine ambayo inaweza kutufanya tusogeze siku, jua lichomoze na lizame tukiwa wenye furaha. Furaha zetu zinatengenezwa na vitu vingi sana!, hakuna kitu kimoja pekee kinachotengeneza furaha ya watu wote kwa pamoja. Kila...
Blog

Taifa Stars likutana na Uganda ‘dhaifu’.

Nambole, Uwanja mgumu sana kwa kila timu ambayo inakanyaga pale. Ni ngumu sana kuifunga timu ya taifa ya Uganda katika uwanja huo, kwa sababu pale ndipo sehemu ambayo wachezaji wengi wa Uganda hutoka jasho la damu. Jasho lao ni tofauti sana na jasho la wachezaji wengi kipindi wanapokuwa Nambole. Watahakikisha...
Blog

Amunike ajianika Ugenini

Tanzania ilikuwa mgeni wa Uganda ambayo imekuwa na matokeo mazuri nyumbani kwao. Ulikuwa mtihani mgumu sana wa kwanza kwa Emmanuel Amunike, lakini kwa kiasi kikubwa anastahili pongezi. Kipi alichokionesha katika mechi yake ya kwanza ya ugenini ? Kwanza mfumo wake ulikuwa tofauti na mfumo ambao wengi tulikuwa tunautegemea ambao aliamua...
Blog

Ushindi wa Stars huu hapa! Waganda ‘watapata tabu sana’!

Inawezekana mechi ya mwisho kuwakutanisha Uganda na Tanzania ikawa imewapa Uganda nguvu sana. Walikuwa wababe wa Tanzania mbele ya mashabiki wao pale Nambole. Leo hii wanakutana tena katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON, ambapo katika mechi ya mwisho ya kuwania kufuzu Afcon kuwakutanisha Uganda na Tanzania ilifanyika mwaka 1984 na...
1 62 63 64 65 66 79
Page 64 of 79