Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Blog

Ukurasa wa Mwisho wa kitabu cha John Bocco utakuwa wa Majonzi.

Kuna hadithi nyingi sana ambazo huvutia na kusisimua kwa pamoja kipindi unazisoma. Na siku zote hadithi hubeba uzito mkubwa wenye mafundisho makubwa kwa jamii. Ndiyo maana waandishi wa vitabu duniani wanabaki kuwa watu wanaoheshimika zaidi. Wanauwezo mkubwa wa kung'amua mambo na wanauwezo mkubwa wa kuandika vitu ambavyo vinaweza kubaki kuwa...
Ligi Kuu

Huu ndio mchanganuo wa magoli 100 ya John Bocco

Nahodha wa zamani wa Azam fc na wa sasa wa Simba Sports Club amefanikiwa kufunga magoli 100 katika Ligi Kuu Bara baada ya kuvitumikia vilabu viwili vikubwa nchini Tanzania yaani Simba Sc na Azam fc. Katika magoli 100 ya Bocco aliyafunga kuanzia mwaka 2008 katika msimu wake wa kwanza akiwa...
Blog

Tunakosea kutumia fimbo ya Djuma kumchapa Assumes

Bila shaka ameshafanikiwa kushika nyoyo za mashabiki wa Simba. Hili halina ubishi kwa sababu alifainikwa kwa kiasi kikubwa kuwapa ambacho kilikuwa burudani kwao. Aliwapa ushindi mkubwa!, hii ndiyo ilikuwa furaha ya mashabiki wa Simba. Timu ilicheza soka la kuvutia, kitu ambacho kwa mashabiki wa Simba ni kama utamaduni wao. Kwao...
Ligi Kuu

Jana ya Simba ilipandwa na Manara!

Siyo jambo la busara na siyo la kibusara kabisa kwa shabiki wa mpira wa miguu kufanya shambulio kwa mtu kutokana na aina ya matokeo yanayopatikana ndani ya uwanja. Huu ni ukosefu wa nidhamu, nidhamu ambayo huwa tunaihubiri kila Siku kwa wachezaji wetu kuwa nayo, na kwetu sisi mashabiki tunatakiwa kuwa...
Ligi Kuu

Mbao yazidi kumpa ‘kiki’ Masoud Djuma

Uwanja wa CCM Kirumba ulikuwa sehemu sahihi ya hukumu ya kesi kati ya Simba na Mbao. Mbao walikuwa wanawakaribisha Simba ambayo ilitoka Mtwara ikiwa na alama moja baada ya kutoka suluhu na Ndanda FC. Matokeo dhidi ya Ndanda FC yalionesha dhahiri Simba ilitumia nguvu kubwa kwenye mechi hiyo ya ugenini....
Ligi Kuu

Mbao na Simba, mechi yenye mabao mengi!

Mechi ya pili ya Simba kwenye uwanja wa ugenini. Ndanda FC walikataa uteja kwa Simba!. Mechi nane (8) kabla ya mechi ya msimu huu dhidi ya Ndanda FC , Simba walikuwa wameshinda mechi zote nane. Ndanda FC msimu huu amejifariji kidogo kwa suluhu ya bila kufungana. Simba anaenda CCM Kirumba , eneo...
Blog

Neymar anapiga hatua moja nyuma kuikimbia BALLON D’OR

Miaka kumi imepita, miaka ambayo ilitawaliwa na wafalme wawili wa mpira duniani. Wafalme ambao wametufanya tujivunie kufuatilia mpira. Wafalme ambao wameleta ladha tamu kwenye mpira wetu. Ladha ambayo imechagizwa kwa kiasi kikubwa na ushindani wao. Wamefanikiwa kuigawa dunia mara mbili, upande mmoja wa dunia ni wa Lionel Messi na upande...
Blog

Kwa Ngassa Yanga ndio Real Madrid na Barcelona

Kuna kitu kimoja ambacho nakiamini sana na kinaweza kuwa na usahihi kwa asilimia kubwa sana kuwa Real Madrid na Barcelona ndiyo Hijja ya mpira ambapo kila mchezaji hutamani kwenda kufanya ibada ya mpira( Ku-Hijji). Hakuna mchezaji asiyetamani kuchezea hizi timu kwa sababu ya historia kubwa zilizobebwa kwenye uwanja wa Santiago...
Ligi Kuu

Kinachomponza Kakolanya ni Utanzania

Hapana shaka Youthe Rostand alifanya vizuri akiwa na African Lyon katika msimu juzi kabla ya msimu jana kuvaa jezi ya wana Jangwani. Timu ya Wananchi!, timu yenye mashabiki wengi hapa Tanzania, kwa kifupi ni timu yenye presha kubwa ndani na nje ya uwanja. Ilikuwa hatua kubwa kwake kutoka African Lyon...
1 61 62 63 64 65 79
Page 63 of 79