Kuna wakati Manara anajing’ata ulimi wake.
Instagram ndiyo sehemu ambayo watu wengi maarufu hapa nchini kwetu hutumia kuonesha maisha yao binafsi na maisha ya biashara zao. Kwenye dunia hii ya sasa kila kitu ni biashara, na ili ufanikiwe kwenye kila kitu unachokifanya lazima ukifanye kwenye jicho la biashara. Ndiyo maana Diamond Platnumz aliondokana na dhana ya...