Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
EPL

Keita ni Ukamilisho wa torati ya Van Djik

Vitu vingi viliongelewa sana , na kitu kikubwa ambacho kilikuwa kinazunguka katika vinywa vya watu wengi na kauli ya Jurgen Klop. Kauli ambayo aliitoa kipindi ambacho Manchester United wamemnunua Paul Pogba. Hakutaka kuamini kama soko la mpira wa miguu limefikia hatua ya klabu kutoa pesa kubwa kwa ajili ya kununua...
Blog

Tanzania inaenda Uganda ikiwa na umbo la Argentina

Kuna vitu vingi sana vya kuvutia katika dunia ya leo, dunia tunayoishi ni moja ya kitu bora kuwahi kutokea ambacho kinavutia katika macho yetu. Dunia imebeba kila kitu ambacho kinastahili sifa ya mvuto, imebeba mbuga za wanyama wenye wanayama wengi wa kuvutia. Wanyama ambao wanategemea maji kutoka kutoka katika vyanzo...
Ligi Kuu

Hadithi ya Kagere haitofautiani na Okwi

Hutokosea kipindi utakaposema nyumbani kwa Emmanuel Okwi ni kwenye klabu ya Simba. Hapa ndipo kwao, wazazi wake wamezaliwa hapa na ndugu zake wanapatikana hapa, kwa kifupi furaha yake inapatikana hapa. Anadekezwa sana, anajaliwa sana kwa kifupi ni mtoto kipenzi kati ya watoto wa mzee msimbazi. Ingawa mzee msimbazi hakumzaa yeye...
Blog

Ujio wa Manji ulikuwa Sinema ya Yanga?

Asubuhi ya Agosti 17 ilikuwa ndiyo siku ambayo tulikuwa tunahesabu masaa kwenda uwanja wa Taifa kushuhudia mechi kati ya Yanga na USM Alger's. Na ndiyo siku ambayo wana Yanga wengi walipatwa na mshangao wenye maswali mengi, maswali ambayo mpaka sasa inawezekana hakuna mwenye majibu sahihi. Ni siku ambayo kurasa za...
Ligi Kuu

Anachokisubiri Djuma ni ufalme tuliomwahidi

Joseph Omong, jina ambalo lilikuwa na ukakasi mkubwa ndani ya masikio ya mashabiki wengi wa Simba. Hawakutaka kumsikia katika masikio yao, hata macho yao waliyatia upofu ili mradi wasimuone tu. Ilikuwa inakera kwao kumuona Joseph Omong katika benchi la ufundi. Kwao wao hawakukumbuka rekodi ambazo Joseph Omong aliwahi kuziweka huko...
La Liga

Koti la Ronaldo lilikuwa limemficha Benzema

Ndiyo usajili wa gharama msimu huu na ndiyo usajili ambao kila kona ulikuwa gumzo. Kila mtu alishangaa kwanini Cristiano Ronaldo anaenda Italy, nchi ambayo kwa miaka ya hivi karibuni ushindani umekuwa finyu. Juventus ameitawala ligi hii, hakuna ambaye ameweza kumzuia. Kila asubuhi pakikucha anawaza ashinde magoli mangapi. Hali ambayo imemfanya...
Blog

‘Press’ ya leo ilikuwa na Sura ya ‘Kamati ya Harusi’.

Hapana shaka siyo mara yako ya kwanza kuona hili neno kwenye makala zangu "kila kitu kwenye dunia hii ya sasa ni biashara". Ndicho kitu ambacho mimi nakiamini kwa sababu tuko kwenye dunia ya aina hii. Dunia ambayo watu wengi hufikiria kufanya chochote ili wapate faida. Faida ambayo huja baada ya uwekezaji...
Blog

Wachezaji watano wanaofaa kurithi Jezi ya Ronaldo

Hatunaye tena, yupo zake akiwa amekaa kwenye nyumba ya kibibi, kibibi kizee cha Turin. Miaka 9 aliitumia kujenga na kuweka alama ambazo zitakumbukwa na kila kizazi cha mpira wa miguu. Kitabu chake cha historia RealMadrid kilianza kuandikwa kwa dau ambalo lilimtoa Manchester United kuja RealMadrid. Dau ambalo lilimfanya kuwa mchezaji...
EPL

Mourinho, Kocha bora wa kujizuia aliyepoteza nguvu zake.

José Mário dos Santos Mourinho Félix ndiyo majina ambayo alipatiwa miaka 55 iliyopita. Ilikuwa ni ngumu kugundua mapema kuwa huyu atakuja kuwa kocha bora duniani. Kocha ambaye alikuja katika kipindi ambacho vijana wengi walikuwa hawapewi nafasi ya kuwa makocha wakuu katika timu zao. Mikono yake ilifanikiwa kufuta hiyo dhana, kila...
Ligi Kuu

Inawezekana Salum Chama hajui umuhimu wa waamuzi.

Ligi haina mdhamini mkuu, hiki ni kitu ambacho kinaumiza kichwa sana. Ligi yenye timu 20, timu ambazo zinatoka katika mikoa mbalimbali, mikoa ambayo miundombinu yake siyo rafiki kwa kiasi kikubwa. Miundombinu ambayo inafanya timu nyingi zipate gharama kubwa ya kuendesha timu. Makali ya gharama hizi yalitakiwa kupunguzwa kwa uwepo wa...
1 63 64 65 66 67 79
Page 65 of 79