Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Tazama msimamo hapa baada ya ushindi wa mabao mawili kwa sifuri huku magoli ya Simba yakifungwa na Meddie Kagere dakika ya 10 na John Bocco dakika ya 60.
Ndemla amekua akitumika kama kiungo wa chini kwa sasa na mwalimu Patrick Aussems hivyo basi katika mchezo dhidi ya Sevilla huenda akawa katika kikosi cha kwanza na kukutana na nahodha wa Sevilla.
Kwa msimu huu tuu tayari Ligi yetu imetoa zaidi ya wachezaji watatu waliokwenda katika nchi zilizoendelea kisoka na hivyo kuongeza thamani ya Ligi yetu na kufanya izidi kufwatiliwa na mawakala zaidi.
Ikumbukwe Sevilla sc mabingwa mara 5 wa Europa League wanakuja kucheza Tanzania kwa mara ya kwanza wakiletwa kwa udhamini wa Sportpesa walio na uhusiano mzuri na uongozi wa Laliga nchini Hispania.