Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Katika mchezo wa kwanza Kagera Sugar waliifunga Simba mbili kwa moja huku pia msimu uliopita wakiwafunga bao moja kwa sifuri mbele ya Rais John Magufuli
Baada ya Emmanuel Okwi na Meddie Kagere kufunga mabao matatu katika mechi moja kwa mara ya kwanza msimu huu katika mchezo dhidi ya Coastal Union ni wazi sasa katika vita ya ufungaji bora imetawaliwa na wachezaji kutoka Simba sc
Lipuli fc imefanikiwa kuifunga Yanga sc na kukata tiketi ya kwenda fainali kumenyana na Azam fc mkoani Lindi baada ya kuifunga mabao mawili kwa sifuri.
Kwa sasa Sevilla ipo chini ya mwalimu Joaquin Caparros, wakiwa na nyota mbalimbali wanaowategemea kama Ben Yedder mwenye mabao 17 na nahodha wao Ever Banega.