Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Kocha wa KMC Etiene Ndairagije huenda wakati wowote akatangazwa na matajiri wa jiji Azam fc kuwa kocha wao mkuu kwenda kuchukua nafasi ya Hans Plujim aliefukuzwa.
Mechi ya hisani kati ya nahodha wa timu ya Taifa Mbwana Samata na msaani maarufu wa Bongo flava na mchezaji wa Coastal Ally Kiba imepigwa leo katika uwanja wa Taifa na team Samata kuibuka wababe!
Katika hafla hiyo iliyoambatana na futari imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kiserikali na watu maarufu huku mgeni rasmi akiwa ni Spika wa Bunge la Jamuhuri La Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
Klabu ya soka ya Yanga imeendelea na usajili wake wa kimyakimya na mapema kama mwalim Mwinyi Zahera alivyosema huku wakifanikiwa kumsajili beki wa kati wa Simba.
Kati ya timu sita zilizopanda mwaka jana ni timu za KMC, Coastal Union, Allince School ndio zipo salama huku Biashara, JKT Tanzania zikipambana kusalia Ligi Kuu Bara, African Lyon wao wameshashuka daraja tayari.
Sevilla walioletwa nchini ni Sportpesa wanakuja kucheza na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sports Club mchezo wa kirafiki wa kimataifa nchini.