Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika kitivo cha uandishi wa habari. Alijiunga na timu ya kandanda mwishoni mwa mwaka 2018. Anaandika kwa kuchambua kiundani na kutoa elimu tosha katika tasnia ya mpira wa miguu nchini.
Goli likifungwa na likazua utata, hasa kabla ya kufungwa, VAR hutumika kujua kama kuna usahihi wa goli hilo hasa kwa kutazama kama ni Offside au yalitendeka madhambi (Man City vs Tottenham)
“Katika mechi hiyo tuiliibuka na ushindi wa goli 3-0, nilifunga goli la kwanza, na rafiki yangu Albert alifunga la pili, na goli la tatu ndilo goli lililowashangaza wengi, na mimi nikiwa ni miongoni mwao..”
Mfumo huu hutegemea utimamu wa viungo watatu wa kati ili kuleta “fluidity na Flexibility” ya timu . Timu itakuwa na uwezo wa kumiliki mpira, kukaba na kuufikisha mpira eneo wanalotaka.
TP Mazembe chini ya kocha Pamhile Mihayo Kazembe, inashika nafasi ya 2 katika msimamo wa Linafoot ikiwa na alama 58 wakicheza michezo 23 nyuma ya vinara AS Club Vita wenye alama 65 katika nafasi ya kwanza wakicheza michezo 25.
Agizo la makamu wa Rais wa Dubai, Sheik Mohammed ni vyema kama litakuwa agizo kwa dunia nzima ikiwemo Tanzania. Unaweza ukadhani ni kitu kidogo lakini madhara yake ni