Mabingwa Afrika

Hawa wachezaji wa TP Mazembe ni hatari sana!

Sambaza....

Kikosi cha Mazembe kina jumla ya wachezaji 35 wenye wastani wa miaka 26, 4. Katika kikosi hicho wageni ni 12 ikiwa ni sawa na 34.3%. kikosi cha TP Mazembe kina ukwasi wa Paundi Mil. 4.12.

Katika kikosi hicho wachezaji hatari zaidi ni hawa hapa: Tresor Mputu, Jackson Muleka, Kevin Mondeko, Djo Issama Mpeko, Joseph Ochanya, Ibrahim Mounkoro, Meschak Eliya, Christian Koffi, Arsene Zola, Kabaso Chogo, Miche Mika na Rainford Kalaba.

Usizikose hizi pia…



Katika hatua ya makundi pekee, Mputu amefunga goli 3, beki Kevin Mondeko na mshambuliaji Jackson Muleka wote walifunga goli 3, kiungo fundi Meschak Eliya naye alifunga goli 2, Chiko Ushindi na Miche Mika wakifunga goli 1 kwa kila mmoja.

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x