98% , Chirwa ni mchezaji wa AZAM FC.
Jana kulizagaa habari za Obrey Chirwa kusajiliwa na klabu ya Azam Fc. Tovuti yako ya Kandanda.co.tz iliamua kumtafuta manager wa klabu hiyo ya Azam Fc , Philipo Alando kutudhibitishia ukweli huo. Philipo Alando alipoulizwa kuhusu usajili huo alijibu kwa kifupi kuwa 98% , Obrey Chirwa kasajiliwa na klabu ya Azam...