Simba ina kikosi kipana na imara kuzidi Yanga.
Ligi kuu Tanzania bara inaendelea , huku ushindani ukiwa mkubwa. Huwezi kuacha kutaja ushindani bila kuacha kuwaongelea Simba na Yanga. Hawa ndiyo wazazi wa mpira wetu. Mpaka sasa timu hizi zimeshaonesha uwezo wao, lakini kuna tofauti moja tu inayowatofautisha wawili hawa. Tofauti hiyo ni Upana wa vikosi viwili. Msimamo wa...