alisaini mkataba wa kujiunga nao kabla ya msimu mpya na ameanza mchakato wake wa kupata kibali cha kufanya kazi na kukimbia kabla ya kuhamia Afrika Kusini rasmi.
Wawili hao Clatous Chama na Luis Miquissone waliondoka kwa pamoja mwaka 2022 ambapo walielekea RS Berkane na Al Ahly lakini sasa wawili hao wote wamerejea Simba
Nitakupa mikasa ya huyu mzee (Babu yake na Jonas) Mzee Masharubu ni Simba kweli kweli. Kuna mambo mawili yametokea Mzee Masharubu akiwa amelala zake kaburini