Ligi Kuu

Ligi Kuu

Kichwa cha MO-Ibrahim Kinaipeleka Miguu Yake Dimbwini

Where Am I ? Ni moja ya kitabu bora kabisa cha mwanafilosofia Daniel Dennett alichokiandika mwaka 1978. Kitabu ambacho alikitumia kuelezea umuhimu wa akili ya mwanadamu. Akili ambayo MUNGU aliiweka kichwani mwa mwanadamu kwa makusudi makubwa sana. Moja ya kusudi kubwa ni kumfanya mwanadamu aweze kutafasri kile anachokiona na kutafasri...
Ligi Kuu

Tatizo la Lwandamina ni kukimbia na tope mwili mzima

Huwezi sikia kelele za maumivu au za furaha kutoka kwake, uhakika wa hatua zake ndicho kilichopo kichwani mwake. Haijalishi njia anayopitia, kwake yeye kitu cha msingi kuuona mguu wake ukisimama na kusogea sehemu moja tofauti na aliyokuwepo awali. Ndiyo maana anatembea akiwa na jeshi dogo lakini lenye nguvu na ushikamano...
Ligi Kuu

Taa yenye mwanga wa dhahabu ndani ya Yanga SC

Hakika Afrika ina kila sababu ya kujivunia kuwa na Kocha wa aina ya George Lwandamina "Chicken", Ni mtu mwenye kariba ya Upole na utaratibu pamoja na utu uliopindukia lakini ndani ya kichwa chake kuna madini ya ujuzi wa ajabu katika Mpira wa miguu, Ana leseni A UEFA ya ukocha, Ukocha...
Ligi Kuu

Hili ndio tatizo la Ndanda!

Kwa kuutazamia mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara maarufu kama Vodacom premier league baina ya wenyeji Ndanda FC dhidi ya Yanga sc Bila shaka utakuwa mchezo wenye ushindani mkubwa kutokana na nafasi katika msimamo wa ligi lakini pia ubora vikosi na mabenchi ya ufundi kwa timu zote mbili...
Ligi Kuu

Mabati ya Azam Fc, Yamenawirisha paa la Simba

Abdul Mohamed alikuwa na maono, maono ambayo yalikuwa ni msingi wa kuiimarisha Azam FC na kuwa timu imara kwa muda mrefu Aliamini katika karatasi zake alizotumia kuandika maono yake, usingizi ulikuwa siyo rafiki kwake bila kusoma karatasi za maono yake. Karatasi ambazo zilikuwa na njia ambayo ilikuwa inamuonesha ni wapi...
Ligi Kuu

Ghafla Nimemkumbuka “MO-Ibrahim”.

Msimu jana alishirikiana na kina Shiza Kichuya, Mzamiru Yasin kuibeba Simba. Pamoja na uzito wa Simba , ugumu wa njia walizokuwa wanapitia lakini walifanya kadri wanavyoweza kuibeba Simba. Simba ambayo ilikuwa bingwa wa kombe la chama cha soka nchini (TFF) Simba ambayo ilishika nafasi ya pili kwenye ligi kuu ya...
Ligi Kuu

Mikono Ya Kabwili Inapingana Na Hukumu Yetu Kwake

Nilikuwa naangalia marudio ya mechi ya Saint Louis na Yanga iliyochezwa Usherisheri. Katikati ya mechi nilibaki naangalia umbo la golikipa wa Yanga, Youthe Rostand. Umbo ambalo linamfaa golikipa yoyote kuwa nalo. Kimo chake kizuri , kimo kinachompa sifa ya ziada kama golikipa. Kuwa na umbo zuri hakutoshi kukufanya kuwa golikipa...
Ligi Kuu

Simbasc Yatakata, Yaendela Kujichimbia Kileleni

Simba sc, imeisambaratisha Mbao FC kwa mabao 5-0 na kuendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, maarufu kama Vodacom Premier League Mchezo huo uliofanyika kunako uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Simba walijipatia bao la kwanza kunako dakika ya 37, kupitia kwa Shiza Kichuya...
Ligi Kuu

Hivi Messi alikuwa mzito kwenye miguu ya Singano?

Ramadhani Singano "Messi", ndivyo tulivyoamua kumbatiza hilo jina baada ya kuhadaika na mguu wake wa kushoto. Mguu ambao alikuwa akiutumia vizuri kukokota mipira na kupiga vyenga ambavyo viliwafanya mashabiki kutoa tabasamu. Tabasamu ambalo lilikuja na ubatizo mkubwa kwa Ramadhani Singano, jina lake lilionekana halifai tena kutumika, Messi akawa mtu sahihi...
1 86 87 88 89 90 94
Page 88 of 94