Ligi Kuu

Ligi Kuu

Biashara Fc yaamsha nderemo Mara

Shangwe, vifijo na nderemo jana vilitawara katika mkoa wa Mara, baada ya timu yao ya soka ya Biashara kufanikiwa kupanda ligi kuu ya soka Tanzania bara Biashara imefanikiwa kupanda baada ya kuitandika Transit camp kwa mabao 3-2 katika mchezo uliokuwa mkali na wa kusimua kwa dakika zote 90 Kwa matokeo...
Ligi Kuu

Coastal Union, KMC zatinga ligi kuu

Vilabu vya Coastal Union ya Tanga, na KMC ya Kinondoni Jijini Dar es salaam jioni ya leo zimepata nafasi ya kupanda ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu ujao. Coastal Union imekata tiketi hiyo baada ya kuitandika Mawenzi market kwa 2-0 katika mchezo uliofanyikwa kwenye dimba la Jamhuri mjini Morogoro....
Ligi Kuu

Tathimini ya mzunguuko wa ligi kuu ya soka Tanzania bara

Mzunguuko wa kwanza wa ligi kuu ya soka Tanzania bara ulikamilika mwishoni mwa juma lililopita huku ukishudiwa na changamoto mbalambali. Simba sc wao wameibuka vinara katika mzunguuko huo wa kwanza, jumla ya alama 35 wamekusanya na kwa hakika msimu huu kikosi chao kimesheheni wacheza nyota hii tofauti sana na misimu...
Ligi Kuu

Emmanuel Martin karidhika, Mwashiuya hana hasira

Geofrey Mwashiuya, alitingisha nchi kipindi cha usajili wake, kijana mdogo kutoka Mbozi ambaye aliifanya mitaa ya Kariakoo kuhamia kwa muda mjini Mbozi. Kila jicho kutoka karikakoo lilimwangalia kwa jicho la matamanio, watu wa Mbozi nao wakawa na viburi baada ya kuona kiwango cha tamaa kimezidi kwa kijana huyu. Kila aliyekuwa...
Ligi Kuu

Simba SC wayanywa maji ya Songea

Kocha mpya wa Simba sc, Pierre Lechentre, amekuwa na mwanzo mzuri baada ya kukiongoza kikosi chake hii leo kwa kuwacha Majimaji FC ya Songea kwa mabao 4-0 katika mchezo wa ligi soka Tanzania bara Simba 4 - 0 Majimaji Kwa ushindi huo, unaifanya Simba kumaliza mzunguuko wa kwanza ikiwa kileleni...
Ligi Kuu

Yanga ilikuwa bora zaidi dhidi ya Azam

Ni moja kati ya mechi nzuri ya kuvutia na iliyokuwa na ushindani wa kimbinu kwa pande zote, naweza nikasema timu zimeonesha kwa nini zipo nafasi za juu kunako msimamo wa ligi Azam FC ambao wenyewe ndio walikuwa wenyeji wakicheza kwenye uwanja wao wa Azam complex, ambapo waliingia kwenye mchezo wa...
LigiLigi Kuu

Tshitshimbi Mchezaji Wa Mechi Kubwa?

  Pappy Kabamba Tshitshimbi "Rasta" kiungo maridhawa wa chini kipenzi cha wanajangwani. Utawaambia nini mashabiki wa Yanga kuhusu Pappy wakuelewe? Moja ya viungo bora mpaka sasa kwenye vodacom premier league, huku tukielekea kuhitimisha leo raundi ya  raundi ya kwanza ya VPL. Ameonyesha uwezo mkubwa wa kukaba, kupiga pasi, kuendesha timu...
Ligi Kuu

Siri ya kwanza ni Yanga kukubali kuwa “underdogs”

Leo Yanga wamefanikiwa kuifunga Azam Fc ambayo ilikuwa haijapoteza mechi yoyote msimu huu. Yanga leo kwenye karatasi ilionekana itacheza mfumo wa 4-3-3 lakini uwanjani ilikuwa tofauti kwa sababu walikuwa wanacheza 4-5-1 na 4-2-3-1. Wakati Azam Fc walianza na mfumo wa 4-4-2 baadaye wakaja kucheza 4-1-4-1 na mwishoni wakarudi kwenye mfumo...
Ligi Kuu

Hiki ndicho kikosi cha pamoja cha Azam FC vs Azam

Azam Fc itamkaribisha kwa mara ya kwanza Yanga katika uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex Rekodi za mashindano yote kati ya hizi timu. Timu hizi zimekutana mara 31 kwenye mashindano yote. Yanga imeshinda mara 12, Azam FC imeshinda mara 11 na zimetoka sare mara 8. Yanga imefunga mabao 41...
1 88 89 90 91 92 94
Page 90 of 94