Hiki ndicho kilicho mpa Tshishimbi ubabe wa Februari
Kiungo mahiri wa Yanga sc, Papy Tshitshimbi amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya soka Tanzania bara kwa mwezi Februari 2018 Mchezaji huyo raia wa Congo (DRC) ametwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda kiungo mwingine wa Yanga sc, Pius Buswita na mshambuliaji wa Simba kutoka Uganda Emanuel Arnold Okwi...