Hata hivyo, kwa kuongezwa kwa Kombe la Dunia la FIFA kutoka timu 32 hadi 48, CAF itapata nafasi tisa, pamoja na taifa la ziada linaweza kufuzu kupitia Mashindano ya FIFA Play-Off
Fainali ya Uruguay na Brazili ya mwaka 1950. Soma mfululizo wa makala hizi kama zilivyoaandaliwa na Maka Mwaisomola. Sherehe zialianza mapema kabisa kwa wabrazili.