Blog

Musa Tombo ataka kujiua.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Sierra Leone, Musa Noah Kamara maarufu kama 'Musa Tombo’ aliyezaliwa August 06, 2000 maeneo ya Tombo nchini Sierra Leone, alikimbizwa hospitalini baada ya kujaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni.
1 2
Page 1 of 2