Simba wanakwenda kutupa karata yao ya nne katika kundi lao ambapo msimamo wa kundi unaonyesha bado wana nafasi wakiwa na alama zao tatu huku wapinzani wao Vipers wakiwa na alama moja pekee.
Kwaupande wake Nahodha wa KMC FC Sadalah Lipangile amesema kama wachezaji wanatambua umuhimu wa mchezo huo huku akiwasihi mashabiki kutokukata tamaa kwasababu bado wana nafasi ya kufanya vizuri
Klabu ya soka ya Yanga leo jioni itashuka dimbani katika mchezo wa raundi ya nne ya kombe la FA maarufu kama Azamsports Federation Cup. Yanga watakua nyumbani wakiwakaribisha Tanzania Prisons katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi saa moja jioni mchezo unaotarajiwa kuwa wa upinzani wa hali ya juu kutokana na...
Mara ya mwisho Feisal kuitumikia Yanga ilikua katika mchezo dhidi ya Polisi Tanzania uliopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa na kuisaidia timu yake kupata ushindi wa bao moja kwa sifuri.