Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana jana Jumapili Machi 10,2019 na kupitia mashauri mbalimbali yaliyofikishwa kwenye Kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti Wakili Kiomoni Kibamba.
Tabiri matokeo kwa kuandika katika sehemu ya maoni ndani ya tovuti yetu tu ya mechi hiii. Mtu wa kwanza kuwa sahihi kabla ya mchezo kuanza atajipatia tiketi ya VIP B mechi ya Simba SC vs AS V.Club na Jezi ya Klabu ya Simba.
Tovuti ya kandanda ilipata nafasi ya kutembelea mazoezi ya klabu ya Lipuli FC yenye maskani yake mjini Iringa. hizi ni picha mchanganyiko za mazoezi yao.
Binadamu anajifunza wakati wote kutokana na makosa au kwa uhitaji wa jambo fulani, na mara zote lengo la mtu kukwambia ukweli hata kama unauma ina maana kuwa ubadilike au uboreshe au upunguze, lengo likiwa ni moja tu kukufanya uinuke tena.