
Unaweza soma hizi pia..
Mambo sita yaliyoinyima alama Stars Kwa Mkapa!
blind passes) zilikuwa nyingi na madhara yake ikawa ni kupoteza umiliki wa mpira (possession) bila sababu ya msingi
Algeria wababe lakini kwa Mkapa hatoki mtu!
Dismas Kelvin John, Ben Stakie, Haji Mnoga na wengineo wakibadilishana uzoefu na nahodha Mbwana Samatta pamoja na Simon Msuva naamini hatuwezi kupoteza point zote 3.
Kocha Stars: Tuna kibarua kizito mbele ya Algeria!
Mchezo utakua mzuri tunacheza na timu ngumu lakini pia nasisi ni washindani hivyo haitakua rahisi na hautakua mchezo mwepesi.
Manara: Wachezaji wetu wamezoa mashabiki!
Kesho twendeni uwanjani tukashangilie timu yetu, hata kama itatokea bahati mbaya tumefungwa itakua ni sehemu ya mchezo maana wakati mwingine mpira una matokeo ya kikatili.