Mshabiki wa timu ya taifa Tanzania, Taifa Stars, ni vema kuanza kujichanga mapema, kwakuwa mlango wetu wa kwenda AFCON 2019 upo Lesotho. Huu ni wito tu kwa mashabiki wa kandanda Tanzania, huko twende tukawape nguvu mashujaa wetu huko ugenini ili tuje tusherehekee kwa nguvu dhidi ya Uganda hapa nyumbani. Tanzania...
Tunayo sababu kwa sisi wa kizazi hiki ambao wengi wetu hatuna historia ya kushuhudia Timu ya Taifa ikishiriki michuano ya Afrika, kujivunia na kuiunga mkono Timu ya Taifa, Tanzania. Bila kupapasa maneno mengi unaweza kuungana nasi kusambaza ujumbe huu kama upo pamoja pia na ni matumaini yetu Tanzania itasonga mbele....
Fikiria neno "hatua" ni neno dogo lakini ndilo limebeba tafasri halisi ya neno maendeleo. Maendeleo ni wingi wa hatua zinazopigwa kimahesabu, haijalishi ukubwa wa hatua ambazo mtu anapiga cha muhimu ziwe hatua za kwenda mbele. Katika safari ya maisha ni ngumu kuanzia hatua ya tano bila kuanza hatua ya kwanza....
Huku ligi kuu bara ikipamba moto timu bado zinapambana haswaa na kufanya kuzidi kunogesha na kuonyesha utamu wa ligi yenyewe. Timu za Simba, Yanga, Azam na Singida utd zikipambana nafasi za juu kuwania ubingwa, upande wa pili huku kuna Majimaji, Njombe Mji, Kagera Sugar, Ndanda, Mbao na Mwadui zikipambana na...
Mchezo wa soka ni taaluma kamili inayojitegemea ambayo ina misingi yake mikubwa kwenye soka la vijana, ambayo wachezaji wadogo au vijana huanza hatua yao ya kwanza kwenye soka, lazima tukubali kuwa hakuna njia ya mkato kwenye mchezo soka, nchi yoyote inayotaka mafaniko yake lazima ipite katika misingi sahihi Katika kipindi...
Huu ni ukurasa maalumu wa msimamo wa tovuti ya Kandanda.co.tz katika maswala yanayohusu mpira wa mguu. Tahariri hizi zinaandaliwa kwa lengo la kuelimisha, shauri, kutoa maoni au kuonya katika mambo yanayohusu mpira wa miguu....