Soka la Ulaya pengine ndio soka liliofanikiwa zaidi ulimwenguni kwani hupokea wachezaji kutoka karibia mataifa yote ulimwenguni, vilabu vimekua na utaratibu mzuri wa kuendelea kuwa karibu na wachezaji wao
Mwamba akiwa na rekodi mbalimbali za mabao lakini hii moja ndio iliyonivutia zaidi, Zlatan ndie mchezaji aliefunga bao katika kila dakika ya mchezo wa soka akiwa uwanjani
Zamani timu zetu zikienda kucheza na timu za Kaskazini kuanzia AirPort, mitaani hadi hotelini timu inaonyeshwa ishara ya kufungwa 5 na kiwanjani kweli tulikuwa tunafungwa Idadi ya mabao hiyo
TFF na maafisa wake wafanye matembezi na ukaguzi wa mara kwa mara viwanjani kuepuka ukiukwaji wa kimaagizo ya marekebisho wanapoyatoa kwa wamiliki wa viwanja.
majeshi ya wapinzani yametangaza ushindi yeye anasimama na kuinyanyua bendera ya Simba juu akiamini wakati bora unakuja hivyo wasimame tena na kupigana kwani ushindi uko karibu.
Zamani tulikuwa na kundi dogo la wachezaji wanaocheza nje. Hawakuwa wanafika hata watano, lakini hivi sasa tunaweza kuita wachezaji 17 wanaocheza nje bila kujumuisha wachezaji wa ndani.