
Unaweza soma hizi pia..
Amekwenda Zlatan Ametuachia Nani!?
Mwamba akiwa na rekodi mbalimbali za mabao lakini hii moja ndio iliyonivutia zaidi, Zlatan ndie mchezaji aliefunga bao katika kila dakika ya mchezo wa soka akiwa uwanjani
Achana na Matokeo Yanga na Simba Zimefanikiwa Afrika
Zamani timu zetu zikienda kucheza na timu za Kaskazini kuanzia AirPort, mitaani hadi hotelini timu inaonyeshwa ishara ya kufungwa 5 na kiwanjani kweli tulikuwa tunafungwa Idadi ya mabao hiyo
Mpaka Wakati Mwingine Tena Wananchi.
Unawaza pengine Yanga wangechangamka zaidi katika mchezo wakwanza kama ambavyo ilikua jana mambo yangekua tofauti na nchi ingeingia katika historia.
Waamuzi wa Soka Wanahitaji Kujengewa Uwezo si Lawama.
Basi TFF wapitie upya miswada ya kozi za marefa ili tupate waamuzi bora ambao wamefuzu kikamilifu katika kusimamia na kufasiri sheria za soka.