Tetesi

Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.

Tetesi

Novatus Dismas Kutimkia Uingereza

Kulingana na Daily Mail, Southampton na Middlesbrough wana nia ya kumsajili Novatus Miroshi wa Zulte Waregem. Mtanzania huyo mwenye umri wa miaka 20 alijiunga na timu hiyo msimu uliopita wa kiangazi akitokea Israel, lakini ameendelea kushangaza kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi nyingi. Mpaka sasa msimu huu, Miroshi amecheza...
1 2 3 4 5 16
Page 3 of 16