Yanga Yataja Sababu za Kusajili Nyota Afrika Kusini
Lengo kuu ni katika sehemu ya mpira wa miguu. Tunahitaji mchezaji ambaye anaweza kutupa matokeo uwanjani, pili, pia ni ushirikiano wa mashabiki ili kuunda PR nzuri kwa klabu nje ya nchi,"
Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.