Tayari kikosi cha Simba kimeshaanza maandalizi ya kushiriki michuano hiyo huku wakiwa tayari wanajinasibu wameanza usajili mzito kuelelea mashindano hayo.
Wakati Julio anakabidhiwa timu zilikua zimesalia mechi nne na moja ya lengo alilopewa na kuinusuru timu isishuke daraja na angalau ikaangulie kwenye playoffs wakajiulize.
Huku kocha Nasreddine Nabi akihusishwa na Kaizer Chiefs, nyota wa zamani wa PSL Bernard Morrison amefanya ulinganisho wa kuvutia kati ya Amakhosi na Wananchi.