Simba SC vs Mtibwa Sugar

Sambaza....

Mechi ya Ngao ya Jamii Ligi Kuu Tanzania bara. Vikosi rasmi.

Baada

Tunasikitika hakuna uchambuzi wa kabla ya mechi hii. Hizi ni takwimu za mchezo huu ambao, Klabu ya Simba imeibuka Mshindi, na kuongeza rekodi ya makombe ikiwa kwa Ngao ya Jamii sasa ni manne

2011 ? 2012 ? 2017 ? 2018 ?

Uwanja

CCM Kirumba
CCM kirumba Rd, Mwanza, Tanzania

Taarifa

Tarehe Muda Msimu Mwisho
18/08/2018 4:00 pm 2018-2019 90'

Waamuzi

Mwamuzi wa Kati
Israel Nkongo
Mwamuzi Msaidizi 1
Abbas Omary
Mwamuzi Msaidizi 2
Abbas Omary

Sambaza....