Kombe la Dunia

Aishi Manula Amerudi na Fei Toto!

Sambaza....

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kinakabiliwa  na michezo miwili ya kufuzu kombe la Dunia kwa mwaka 2026 ambapo  kitakua na michezo miwili kati ya November 18 na Novemba 21.

Kuelekea michezo hiyo dhidi ya Niger na Morocco kocha mkuu wa Taifa  Stars Adel Amrouche ametaja kikosi kitakachoingia kambini hivi karibuni huku akimrudisha mlinda mlango wa Simba Aishi Manula na kiungo wa Azam Feisal Salum.

Kikosi kamili cha Taifa Stars.

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x