Sambaza....

Simba walipambana sana kuhakikisha wanaupata ushindi ugenini, wakaishia kupata sare ya 2-2.

Simba akicheza nyumbani, yuko na nafasi nzuri ya kusonga mbele, ikichukuliwa kuwa ni kawaida kwake kufanya vizuri katika hatua hii.

Nafasi yako Mwanakandanda kutupia utabiri wa mechi hii ujishindie Jezi ya Simba. Washindi wawili wa kwanza kutabiri watapata uzi wa Simba Sc.

Anza sasa kabla ya mechi kesho.

Sambaza....